MPINA NA WAZIRI BASHE 'WAFOKEANA' BUNGENI "ANADANGANYA, NITALETA USHAHIDI"/ SPIKA AINGILIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 апр 2025
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 221

  • @EmmanuelMoses-pb1zh
    @EmmanuelMoses-pb1zh 9 месяцев назад +7

    Mtaalamu Mwenyewe Luhaga mpina 🙌🙌🙌

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 10 месяцев назад +9

    Mlitaka USHAHIDI Sasa Mpina kawapa. Mh. Spika binafsi Huwa unanikera mara kadhaa UNAVYO waongoza wenzako. Punguza ukari na ndio maana Mpina kakimbilia mtaani maana anajua ni kawaida Yako kuweka Kona wenzio. Tabia MBAYA SANA hiyo kwa ustawi wa Nchi. Mpe mtu nafasi azungumze amalize lakini wewe ni umekuwa mtu wa kuingilia watu wanapo zungumza. Sio siha NZURI.

  • @lwitikomwambogela4276
    @lwitikomwambogela4276 10 месяцев назад +12

    Hili suala la sukari liko kisiasa sana, miezi ambayo tanzania hawazalishi, wenzetu Zambia na Malawi wao wanazalisha mwaka mzima. Na hali ta hewa ya Tanzania na hizo inchi iko sawa.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 10 месяцев назад +15

    Mtukufu ni Mungu.....Bashe. Wewe ni mwislam wa kweli kuliita bunge eti tukufu....mmmmh unakosea sana.....utukufu una Mwenyezi Mungu pekee

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 10 месяцев назад

      Pamoja na maneno hayo, mbona bei ya sukari bado ipo juu?

    • @ishmaelsimon6617
      @ishmaelsimon6617 10 месяцев назад +1

      Nadhani alimaanisha Saint na sio Holy, Kiswazi kipo na shida.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 9 месяцев назад

      Bunge lina utukufu gani na limejaa wizi

    • @Monja9999-c1b
      @Monja9999-c1b 9 месяцев назад

      Mungu hakai maali pachafu,palipojaa rushwa na uonevu,Hukumu yenu yaja wapigaji,mijizi mikubwa

    • @SaleheMkomwa
      @SaleheMkomwa 9 месяцев назад

      WIZI MTUPU HAPO SIKUELEWI

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 10 месяцев назад +8

    Umeumbuka Bashe! Unamtaja na MUNGU huna haya? Umedanganya bunge ma 18 Bashe. MUNGU amlinde sana Mh Luhaga Mpina.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 9 месяцев назад

      Kwel kabisaa mwizi huyu msomal

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 10 месяцев назад +4

    Allah, yuko nawe mh bashe hukuubwa kumuogopa kiumbe yeyote fanya kazi yako amana umepewa na mungu la yahafu kiumbe mungu anajua zaid

    • @denismasele4130
      @denismasele4130 9 месяцев назад

      Usiwe unatetea uovu wanao pata tabu ni sisi wananchi

    • @hellenmarandu1787
      @hellenmarandu1787 9 месяцев назад

      Sio rahisi kuwa kiongozi wa chochote

  • @EmmanuelMayunga-wh5jh
    @EmmanuelMayunga-wh5jh 4 месяца назад

    Bashe is a role model

  • @EdwinZiade
    @EdwinZiade 9 месяцев назад +1

    Hongera Mpina komboa Watanzania

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 10 месяцев назад +7

    Spika si uwaache wawili mpina na Bashe wamenyane tu ..Spika anaingilia sana 😅😅

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 10 месяцев назад +16

    Mpina Ipo Siku Itafika Tutakumbuka Hoja Zako Na Kusema Mpina Aliwahi Kuyasema Haya Akiwa Bungeni

  • @GodfreyTarimo-je4xo
    @GodfreyTarimo-je4xo 9 месяцев назад +8

    Mpina hoyeee

  • @AnthonyMgembe
    @AnthonyMgembe 10 месяцев назад +5

    Bashe ni waziri. Mzigo

  • @drtobias_
    @drtobias_ 10 месяцев назад +10

    Waziri Ummy alikua busy kuchati na Mimi

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 10 месяцев назад +5

    Niko na mpina mpaka awe waziri,jamaa ananyoosha sana

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 10 месяцев назад +1

    Bashe utakuwa juu sana. Mungu akulinde.Good man. Achana na Mpuuzi mpina.hopeles minister mpina. Unapambana na bashe kwa ajili ya nini. Bashe ni mzalendo wa kweli.

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 10 месяцев назад +4

    Spika naye anajibu maswali kwa niaba ya wazir???i Lengo apotoshe? Huyu Spika😂

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 10 месяцев назад +8

    mpina akija kuwa hata waziri mkuu tu Kuna watu watakunya na watanyooka tunaishi kimazoea Sana

    • @yusuphnundu6113
      @yusuphnundu6113 9 месяцев назад

      Alikua waziri wa mifugo wakati wa magufuli ndio huyo alikua anapima samaki na rula 😂😂 huyo naye anahasira za kukosa uwaziri akipewa cheo anavurunda pia

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 9 месяцев назад

    Kwanza bashe ni kabila gani?😅😮😊

  • @katapaj2336
    @katapaj2336 9 месяцев назад

    Mpina gombea uraisi kula yangu ipo❤❤❤❤❤❤

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 10 месяцев назад +11

    Taarifa za mpina ni za kikachero

    • @jamesselemani4562
      @jamesselemani4562 10 месяцев назад +1

      😂😂 huyu mwamba nimemshitukia kabsa sijui ni kachero

    • @paschalpaul3862
      @paschalpaul3862 10 месяцев назад

      @@jamesselemani4562 hao akina mpina ndiyo wanatumiwa na serkali yaani chini ya TIS ili kuwabana mawaziri

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 10 месяцев назад +2

      Jeshi la mtu mmoja,kamati ya mtu mmoja.

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 9 месяцев назад

      Kama sio kachero basi anafanya kazi na upinzani mwamba anaona mbali Sana

  • @AMENMUSHI-wt4li
    @AMENMUSHI-wt4li 9 месяцев назад +2

    Mungu mbinguni utete watanzania ,hspa duniani tulikuja bila kitu tutaruf hivyo hivyo

  • @abumuhammadmbwana3964
    @abumuhammadmbwana3964 9 месяцев назад

    Watanzania hua kuwaelewa wanzchokita ni kazi kubwa sana ukisikiliza hoja za wawili hao hapo bungeni utaona lengo la Bashe ni kumtetea mwananchi wakati mpina anatetea kanuni. Mimi nilitegemea wananchi wamuunge mkono Bashe kuliko Mpina.

    • @JosephatMsukuma
      @JosephatMsukuma 5 месяцев назад

      Pole hukuelewa vzr tatzo cyo sheria n kuagiza yeye mwenyewe

  • @pastorsthenksrojaskapunga6843
    @pastorsthenksrojaskapunga6843 9 месяцев назад +1

    Mimi niseme tu mpina yuko sahii zuli sana acheni kujidaganya Kutoka 1:8,10
    [8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.
    Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph.
    [10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.
    Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 9 месяцев назад +2

    Spika hatuna ila tunakipaza cha sauti tu 😂😂🙌

  • @shanjemanumba6325
    @shanjemanumba6325 10 месяцев назад +5

    Mpina umebaki peke Ako tu hapa nchini kuipgania Taifa hili .Mungu akupe nguvu

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 10 месяцев назад +1

      Yes indeed. Unfortunately he is alone 😢

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 10 месяцев назад +10

    Hongera Mpina kuwa mzalendo wa Inchi hii

    • @SarahSwale
      @SarahSwale 10 месяцев назад +1

      Hakuna kitu zaidi ya Makasiliko. Ana chuki na Mh. Bashe, Hawa ndio kundi linapambana kumwondoa Bashe na baadhi ya mawaziri kwenye nafasi zao kwa chuki tuu. Hon. Bashe ni Kichwa kingine cha karne hii.

    • @ishmaelsimon6617
      @ishmaelsimon6617 10 месяцев назад

      Bashe yupo safi, bt tunajua target ni 2025 iwe 2000/kg, uchaguzi ni wa motoo..

  • @michenjembikamichenje1388
    @michenjembikamichenje1388 10 месяцев назад +2

    Mpina and S makamba also good mbunge and bashe ni waziri mmoja ktk mawaziri kwelikweli wa mama Samia

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd 10 месяцев назад +5

    Aliye Tulaani sisi alitufanyia kitu mbaya sana, sisi ni nchi yenye ardhi kubwa kuliko zote east Africa, sisi ni nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyito afrika tuna mvua za kutosha ati miaka 60 ya uhuru bado tuna tunaongelea sukari. Aliye tulaani ni mtu mbaya sana

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 9 месяцев назад +1

      Nakuunga mkono kwa point zingine ila hili la...nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyote East Africa si kweli hakuna utulivu ila wameeneza vitisho kwa wananchi ili watawale kimabavu asijitokeze mtu kuongea ukweli watakushughulikia kama Tundu Lisu

  • @MRHURUMAHuruma
    @MRHURUMAHuruma 9 месяцев назад +4

    Bunge bila upinzan siyo bunge kweli tusirudie makosa mama tumpe urais lakin wabunge tuwachanganye

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 9 месяцев назад +1

      Acha ujinga mama gani unaongelea😂

    • @MRHURUMAHuruma
      @MRHURUMAHuruma 9 месяцев назад

      @@zakariamalembela3974 kwann wewe unadhan mama yup ata kama ni mama ako anafaa tumpe

    • @judicateurassa7817
      @judicateurassa7817 9 месяцев назад

      Mama yupi apewe

    • @MRHURUMAHuruma
      @MRHURUMAHuruma 9 месяцев назад

      @@judicateurassa7817 mama samia

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 9 месяцев назад

      ​@@MRHURUMAHurumayaani huyo mama karibu nchi kabisa

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c 2 месяца назад

    Hifi hii ichi yetu miaka yote wanafanya nn mbaka wameshindwa kitenga sehemu maalumi mashamba ya kumwagiloa miwa isikatike

  • @mirajiramadhani2128
    @mirajiramadhani2128 9 месяцев назад +2

    Uwongo Uwongo

  • @glassdubaialuminiumprofile2026
    @glassdubaialuminiumprofile2026 10 месяцев назад

    Nakuelewa sana Brother mm kama mjasiliamali katika kilimo na mifugo Niko mikono salama

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 10 месяцев назад +1

    Tulibinafsisha viwanda vya sukari ili uzalishaji ukidhi mahitaji yetu!
    Leo hii hamna chochote tunachokidhi!
    Kwanini tulibinafsisha?

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 10 месяцев назад +2

    Waheshimiwa wabunge wakati mwingine mimi huwa nashindwakuwaelewa wakiwawanaongea hapo kama watu mwenye uchungu vile kumbe hamna kitu Mimi binafsi ni moja ya waathirika wa zao la tumbaku tabora naye huyu anatokea tabora yaani kuna migogoro mpaka basi pia kuna uonevu wa Hali ya juu kwenye zao hili

  • @umranim5854
    @umranim5854 10 месяцев назад +1

    Huyu mpina anaonekana ana chuki na waziri sasa alete ushahidi au imekula kwake na roho mbaya 😂

  • @sadammadamba2550
    @sadammadamba2550 9 месяцев назад +1

    Unataka ripoti ya CAG yup maana analeta kila siku na hakuna linalofanyika...

  • @gkanyanda1173
    @gkanyanda1173 8 месяцев назад

    Pina ndo yupo sawa .

  • @PaulKhaday
    @PaulKhaday 9 месяцев назад

    Spika anamtoa mpina kwenye point

  • @KioJuma
    @KioJuma 9 месяцев назад +1

    Mpina akuna kitu ahaaa

  • @emanuelmgote4511
    @emanuelmgote4511 10 месяцев назад

    Mheshimiwa bashe mageti ya Mazao yanakamata ushuru mpaka Genoa moja..unalijua Hilo?

  • @arcadilamu396
    @arcadilamu396 9 месяцев назад +1

    Tatizo spika anajifanya wakili ikiwa Waziri alipaswa aweke ushahidi wa alivyovisema ili Mpina nae athibitishe ukweli ujulikane na sio kupendelea sehemu moja

  • @Nabopolassar-q2q
    @Nabopolassar-q2q 9 месяцев назад +1

    Maada ya kipumbavu yanapiga makofi hatari lkn hoja za msingi za kina Mpina wanacheka

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 10 месяцев назад +4

    Hiyo ni siasa tu. Unaongea sana lakini utendaji ni zero!

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 10 месяцев назад +12

    Mpina oyeeeeee

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 10 месяцев назад +3

    Mbona mpaka sasa sukari inanunuliwa kwa bei ya juu? Tulia atakupini Mpina kwa sababu agenda zao.

  • @AbdiMohamed-vk5kc
    @AbdiMohamed-vk5kc 10 месяцев назад +2

    Bashe amewashika pabaya wenye viwanda,miaka yote wanajifanya kuna shortage ili wapewe vibali,nashauri kipindi cha shortage wapewe vibali wafanyabiashara ili wenye viwanda wazalishe sukari ya kutosha kipindi chote,mikoa iliyoko mipakani kama nchi jirani kuna sukari wafanya biashara wa mikoa hiyo waruhusiwe kuingiza,Mpina acha kutetea wezi.

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 9 месяцев назад

    Huyu aliyekaa pembeni ya mpina eti nae mbunge duh 🙄 anaongea mpina yeye anatetemeka

  • @Chiefmutasa
    @Chiefmutasa 10 месяцев назад +2

    Bashe umeyakanyaga

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 9 месяцев назад +1

    we bashe wee upo vizuli naona una mtaja sana mungu nikweli una tenda aki uku kwetu sukali kilo 3500 mpina tupamba nie mwamba ayo mengine tusha yazowea kila seemu ni kupigatu yeye nani bashe asi pige

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 10 месяцев назад +1

    BUNGEE ZIMA VS MPINA

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 10 месяцев назад +1

    Huyu mpina wakati ni waziri alikuwa ni mfitini sana kwa mali za watu na ana roho ya wivu anaona kuwa wanziri anapata sana sasa anaona kila mtu yuko kama yeye

  • @KopiscoIsaya
    @KopiscoIsaya 9 месяцев назад

    Danganya mbumbumbu wenzako.mawaziri na wabunge hamjielewi.

  • @pastorsthenksrojaskapunga6843
    @pastorsthenksrojaskapunga6843 9 месяцев назад

    Kutoka 1:8,10
    [8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.
    Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph.
    [10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.
    Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 10 месяцев назад

    HIVI HILI BUNGE NI TUKUFU KWELI? AU NANI ANAAMBIWA NI SPIKA NDIYE ANAJUA NA ANAAMINI KWAMBA BUNGE LAKE NI TUKUFU? DUHHHH.😊😊😊😊

  • @dignusraymond6197
    @dignusraymond6197 10 месяцев назад

    My gumu hyu ni wa wote sis ccm tutafanywa vbaya sana

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc 10 месяцев назад +2

    Kingereza kingi

  • @pastadandan3569
    @pastadandan3569 10 месяцев назад +3

    Hapo spika anajaribu kuua hoja mpina

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 10 месяцев назад +3

      Anataka kuifanya bunge kuwa taasisi ya serikali

  • @Jal210
    @Jal210 10 месяцев назад +1

    Waziri Bashe brain kubwa

  • @pillydea3498
    @pillydea3498 9 месяцев назад

    ❤Tp

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 10 месяцев назад +1

    Mpina wanyooshe wote watakaosema uongo bungeni

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 10 месяцев назад +1

    Bashe hajaiba hata Mia.mnamshambulia kwa sababu gani.wivu tu mara malori yake.kwani kuwa na malori ni dhambi?

  • @AtanasKameja
    @AtanasKameja 10 месяцев назад +1

    Mbina uko sahihi sana

  • @BahegheJoseph
    @BahegheJoseph 10 месяцев назад +4

    Sasa ww bashe kama unashindwa kuwaamrisha hao wa viwanda wakakusikiliza unafany nn ofisin

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 10 месяцев назад +1

      Kwel anafanya nini aachie ngaz bc

  • @lutufyolaban2144
    @lutufyolaban2144 9 месяцев назад

    Mbona hakuna walipofokeana ninyi Yesu anawaona

  • @JudithMwakyambo
    @JudithMwakyambo 10 месяцев назад

    God is tge judge

  • @PASCHALCHARLES-dc1yd
    @PASCHALCHARLES-dc1yd 9 месяцев назад

    Sukari sio chakula cha watu maskini hata ingekuwa ivo maskin ndo wakose sukari.

  • @daudwilliam2326
    @daudwilliam2326 10 месяцев назад

    Hiiizi kelele zote ni sukari hiii chafuu na nyeusiii au ni ipiiii 😂😂😂😂😂

  • @KioJuma
    @KioJuma 9 месяцев назад +1

    Bashe bingwa anabishan kW hoja mpina anajutafuta ahaaa

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 10 месяцев назад +1

    Kwanin kusiwe na mikakati ya kuzalisha wakati wote bila ya kusimama

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 10 месяцев назад +2

    Wakulima wanalindwa vipi nenda chunya kafatilie zile mborea feki nani alie ziruhusu wakulima wanalia.

    • @reonandmpangalushu3434
      @reonandmpangalushu3434 9 месяцев назад

      Sio chunyatuu kila kona wanalia na mbolea feki starudia (hii Somalia)

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 10 месяцев назад +1

    Kwa kutulinda wakulima hapana sasa hivi umetangaza kuanza biashara ya unga wa mahindi DRC sasa kama serikali ina anzaje kuuza ungaa Drc wakulima na hasa kigoma tunaotegemea soko la DRC tutweza kushindana na serikali kweli hii sio sawa

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 10 месяцев назад

    Yaani hapo ulipomruhusu alete ushahidi ndipo ulipommaliza bashe 😅😅😅😅😅😅 , sasa sikilizia ushahidi unaokuja on date

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 10 месяцев назад +1

    Bashe kawa bashili sikuizi😁😁😁🏃🏃🏃🏃🏃

  • @YahyaBantula
    @YahyaBantula 5 месяцев назад

    Tatizo wazili amtaki kuambiwa ukweli akisema ukweli tayari ni adui

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 10 месяцев назад +1

    Bashe ni msanii yuko bize na maloli yake juzi tu kampuni ya marori jamani tz ni mtaji wa wanasiasa na mawZiri

  • @SHAURI.2024
    @SHAURI.2024 10 месяцев назад +3

    Sukari zenyewe ni chafu

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 10 месяцев назад

    Hivi mpina alipokuwa waziri, alifanya nini cha maana?

    • @EmanuelMandoo
      @EmanuelMandoo 9 месяцев назад

      Kama hakufanya la maana asitoe hoja za msingi

  • @JohnSulle-q6p
    @JohnSulle-q6p 10 месяцев назад +2

    Bashe atoke kweny uwaziri hawezi kutusaidia wanyonge watu tunataka tuuze ata mahindi yetu ata gunia 10 ili upeleke watoto shule lakin ye anaangalia matajiri tu mshenzi uyu

  • @simonGeraldhosole
    @simonGeraldhosole 10 месяцев назад +1

    Tanzania 😭😭

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 10 месяцев назад +2

    Huyu. Anachekesha watu wananunua sukari sh..4000 mpaka sasa sasa inanunulika wapi.bei ya chini

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 10 месяцев назад +1

    Hio ni kutuchanganya tu wanania Moja hao

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 9 месяцев назад

    Afrika moto, Bongo kuendelea ni swa nakuyatafuta matako ya nyoka hapo wezi wamarundika

  • @yakaramayaka1456
    @yakaramayaka1456 10 месяцев назад

    Waziri Ummi yuko Instagram 😂

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 9 месяцев назад

    Intervention wapi wewe, hapo kunaupigaji tu, kama ukiagiza sukari nje inakua ni bei rahisi, sasa kuna maana gani ya kua na viwanda sasa, waziri Iddi Simba alijiuzuru kwa issue hii hii ya sukari.

  • @malembobulongo3856
    @malembobulongo3856 10 месяцев назад

    Acha uongo Bashe Kuna wakulima vijijini mpaka Sasa hawajasajiliwa na hawana uhakika wa kupata pembejeo

  • @davidmrindoko5044
    @davidmrindoko5044 10 месяцев назад

    adiltv 1

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 10 месяцев назад +1

    Mpina yupo sahihi kabisa bashe janja janja tu!

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 10 месяцев назад +1

      Halafu anajifanya anaongea kwa kujiamini kumbe Hakuna, Mpina yuko sahihi

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 10 месяцев назад +1

      Bashe kama Mo wa simba..janja janja mingi

    • @MasanjaMasanja-mz3ll
      @MasanjaMasanja-mz3ll 9 месяцев назад

      Sisi watumishi WA kilimo tumeona mabadiliko aliyoyaleta Bashe kwenye kilimo...na bado anafanya vizuri

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 10 месяцев назад

    Tukitumia sheria sana nchi haiendi..... Tuwe tunakabiliana na uhalisia hata kama tunavunja sheria

  • @godwinmsigwa7037
    @godwinmsigwa7037 10 месяцев назад

    Kwetu sukari ni chakula cha watu matajiri😂😂😂

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 10 месяцев назад +1

    Mbona mpina kila siku ni kupinga tu au mimi ndo sikuelewi

    • @RenaldaZeramula
      @RenaldaZeramula 10 месяцев назад

      Hakuna wapinzani BUNGENI.
      CCM WANAPANGANA KWAMBA WEWE UTAKUWA MOTHER IS BETTER THAN FATHER OR FATHER BETTER THAN.MOTHER. WAMEPANGANA

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 10 месяцев назад

      Hapingi, anatoa hoja na kukosoa na kushauri ndiyo kazi ya mbunge

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa 9 месяцев назад

    Spika upo UPANDE upi hapo MAANA sikuelewi

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 10 месяцев назад +1

    VIVA MH. BASHE!

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 9 месяцев назад

    sasa apo nyie ambao mnashangilia mpina mana mlitaka sukari iwe juu ili mumtukane raisi leo mnataka bashe afuate sheria wakati juzi tu mlikuwa mnamsifia Magu anafanya maamuzi kwamba sheria inachelewesha leo vp yaani nyie mkipata mtu yuko tofauti na serikali ata kama serikali ina inawahurumia nyie ndio mnamuona yk sawa

  • @MrishoKatondo
    @MrishoKatondo 9 месяцев назад

    Nilimkubar sana but nasemea moyon mwangu****** wez majambaz wauwJi

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 10 месяцев назад +3

    😊mpina ni mpiga porojo mkubwa,na si alikuwa waziri alifanya nn zaidi ya kupima samaki kwa RULA?siasa ni mwanaharamu wewe mwananchi ukiwa mjinga utahadaika na watu kama mpina.

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 10 месяцев назад

    Allah akusimamie jembe letu simama imara nyoosha mistari watakaa pembeni wadhalim wote inshaAllah kwa nguvu za Allah, nasi wanyonge tunakuombea utasimama kwa nguvu za mwenyewe mungu mwenye ulimwengu wake na dhul hijja hii yarrabi

  • @NIMRO-bx8vu
    @NIMRO-bx8vu 9 месяцев назад

    Ila hii nchi(.......)

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 10 месяцев назад

    Wanaomsifia Mpina hawamjui vizuri huyu aisha kua waziri wa mifugo alicho fanya waulize wafugaji na wavuvi, kama kuna cha maana alileta zaidi ya sifa za kufilisi watu,

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 10 месяцев назад

      Sas wewe unaongea nn mbon bandali sio Mali yetu na bado laisii niyuleyule co we una taka wazidi kuibaa sio

    • @smallscaleminingsupplies9670
      @smallscaleminingsupplies9670 10 месяцев назад

      @@RomanMwinyi Wewe hiyo bandari umeisha leta mzigo ukapitisha hapo chini ya Watz ukaona adha yake

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 9 месяцев назад

    Mpina apewe maua yake ndani ya nchi yetu

  • @anytime5685
    @anytime5685 10 месяцев назад

    Kama walifungia hatua gani mmechukua mpaka mwaka wa ppili unatuambia haya
    Kiuhalisia kazi imemshinda
    Maelezo mengi ila hakuna kinachotokea